Mtumishi kazi yako ni nzuri na nimefurahi sana.Mungu akubariki
Mungu akubariki sana servant of God, this is ol educational, inspirational and spritually fulfilling. asante sana kwa kazi hii.
Thank you my lil sister, karibu sana!
Utukufu kwa Mungu! Kazi nzuri sana, tunajifunza. Neema yake isikupungukie.
Dear Mate, ahimidiwe Mungu aliyekuwezesha kupata maono haya ya kuanzisha huduma hii , wengi watajifunza,wanajifunza, wamejifunza, pia unawafikia wengi kirahisi, Bwana awe nawe pia
Daniel Alex.
kweli kazi yako nzuri mtumishi,umeleta uamsho katika maisha yetu kwa habari ya kiroho,ndoa,familia na mengine mengi,MUNGU akubariki kwa utumishi huu mzuri!
i have been blessed with this blog, may the God’s blessings be upon you,
Amen,
Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri , am also a working mother of two, not born again but a believer
I recommend that this site be visited na watu wote wanaoishi duniani.UMEBARIKIWA
yaani sijui kwa nini sikuifahamu siku zote hizo. jamani tujuzane vitu vizuri kama hivi. Nabarikiwa sana ndugu, ubarikiwe na Mungu akupe ufahamu na mafunuo zaidi
yaani sijui kwa nini sikuifahamu siku zote hizo. jamani tujuzane vitu vizuri kama hivi. Nabarikiwa sana ndugu, ubarikiwe na Mungu akupe ufahamu na mafunuo zaidi, jamani daniel initiative hujaiweka hii kwenye links zako.
MTUMISHI WA BWANA NITAIWEKA TENA LEO
BARIKIWA ZAIDI NA ZAIDI KATIKA JINA LA YESU BWANA
You are a blessing to me my sister, I thank God for what you are doing in his kingdom, may my God almighty bless you.
Thanks anonymous
be blessed
Shalom,nimefurahi sana kuingia na kusoma yote yaliyomo kwenye blog hii,naweza kusema ni utukufu w aMungu muweza yote ndio unazidi kuonekana katika maisha yangu,maana ndani ya siku hizi mbili nakuwa napata blog nzuri zenye mafundisho mazuri ya Mungu,bwana akubariki na azidi kukutia moyo,mimi nimeokoka,na natamani kila cku nizidi kusimama imara katika imani yangu,tafadhali ningependa kama ningeweza kupata hata namba yako ya simu,ili uweze kuwa unanisaidia zaidi kukuwa katika imani yangu,nahitaji mtu wa kuwa nabadilishana nae mawazo juu ya utukufu wa Mungu,Bwana akubariki na uizid kuitenda kazi yake vizuri,nitwa Maria,nitafurahi sana kama utanijibu.Amen
Maria, i will email you..be blessed
kazi nzuri mtumishi songa mbele na Bwana aendelee kukupa neema na hekima za ki Mungu katika huduma hii, kazi njema!!!!!!
Asante sana Naomi, karibu
This is a Seed, hautaacha kuvuna unachopanda, fanya kazi yake aliyekutuma kwa moyo…
Ubarikiwe mpendwa kwazi yenye mvuto na kupendeza,tupo pamoja!.
Amen Rachel, asante na ubarikiwe pia
mbarkiwe sana, nimepata ushindi mpya. kazi yenu ni njema sana
mbarikiwe sana kwa kazi yenu nzuri wapendwa
Jamani hongera sana kwa kazi hii ya Mungu unayoifanya kwa kweli nimeipenda hii blog sana imenifunza meengi sana. Zidi kubarikiwa na kuinuliwa katika kuitekeleza kazi ya Bwana.
God Bless You.
Mimi ni mama Mchungaji napenda kutoa shukrani nyingi kwa jinsi mnavyoelimisha watu.
Amen, karibu sana na ubarikiwe
praise God,iwould like to be amember on your organization tell me what to do, mrs swai
Mungu awabariki sana, kazi mnayofanya ni kubwa sana.
Mungu akubariki dada kazi yako ni njema sana
hello maggie,im truly blessed by this website,and i would like to have a copy of the Prayer journal (in His presence),i live in Tanga,i dont know how i can access it..
bless u
Glory be to God, nitakutumia email
kwa kweli dada unanipa matumaini, umenisaidia kujua jinsi ya kusali, na maombi ya weekend hii yamenigusa sana. Be blessed
umebarikiwa
J.D.Moriah, ni katibu wa chama cha vijana kijulikanacho kama ELISHADAI MINISTRY ambacho bado ni kidogo kihuduma lakini tunatafuta rafiki katika KRISTO YESU ambawo kwa pamoja tuweze kuliviringisha gurudumu hili la machafuko kulisafisha kwa neno la Mungu wetu aliye mkuu.
asante saana ….
unatupatia vitu vizuri
naomba MUNGU akuongezee maarifa,amen
Asante mtumishi wa Mungu kwa vitu vizuri sana vya kutufanya wamama bora zaidi. Kwasababu nimeijua blog leo, Nina kazi kubwa ya kupitia article zooote, zoote zinaonekana kuwa na ujumbe. Ubarikiwe!
Karibu sana Ester, Mungu akuhudumie unapopitia article moja baada ya nyingine. Waeleze na rafiki zako kuhusu blog hii
Mungu awabariki sana vitu kama hivi tulizoea kuona kwa wenzetu lakini leo mmetukumbuka sisi wenzenu kwa kuanzisha blog yenu.
Nabarikiwa sana kila ninapopita hapa, Mungu azidi kukupa maarifa ili tuzidi kujifunza kuishi kama apendavyo…
Ubarikiwe sana!
Mungu akubariki sana kwa huduma njema
hello,this is a blessed ministry,may Almighty GOD bless You in any way.
dadangu naomba unitumie ratiba ya chakula na orodha ya manunuzi. nakupenda na mungu azidi kukutumia ili tupate kujua nini hasa malengo ya mungu kwetu na familia zetu.
Amen. Ukisearch hapo juu ratiba ya chakula na orodha ya manunuzi utavipata. Karibu
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu,WomanofChrist – Kazi nzuri unayofanya. Mungu azidi kukupa upako na hekima zaidi uli uzidi kulisha kondoo!
Olive.
May GOD bless you abundantly!
Mungu akubari muchungaji
M blessed with ur work!bless u sana
Ninakupongeza sana kwa juhudi
na maono lyako kwa kuanzia blog hi ya kuunganisha wamama ,wadada,wasichana nawabibi walio ndani ya Yesu mungu akuongoze na akupe mafunuo ili mwili wa Kristo ujengwe
niko pamoja nawe na ninakutakia ushindi katika damu ya Yesu . Naongea kama mtumishi wa Mungu kwamba Mungu atakufungulia mlango mkubwa ambao hukutegemea Kwa Jina la Yesu Kristo
Dear women of Christ,I thank God who has called u and who has entrusted u his ministry and who has called u.please can I get your contact.I have been blessed by your work.thank u in Advance.
Mungu akubariki sana kwa kaz yako nzur
Mtumishi wa Mungu, Ubarikiwe sana pamoja na kwamba sijapata majibu ya maombi yangu – naamini kabisa Mungu wangu hataniacha. Amina
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu mdogo wangu aliumwa sana mwaka jana nikakuletea maombi yangu kwako ukanielekeza jinsi ya kuomba. Namshukuru Mungu alipona na yupo mzima kabisa. Ubarikiwe sana
Mungu akubariki sana, kwa kazi nzuri unayoifanya. ubarikiwe, ningependa tubadirishane ujuzi kidogo, nitaarifu hapa tuktzemail@gmail.com
Nimekuja hapa kukushukuru na kukuombea mema. Nashukuru Mungu kwa kazi yako, na naomba akutangulie daima, na usichoke kutuelimisha. Nimefarijika na kuelimika vilivyo na blog yako ya “Unawezaje Kuwa na Mawazo Safi?” UBARIKIWE!
Shaloon MUNGU awabariki napenda kujiunga na maombi ya usiku namba ya ngu ni 0784461655
hii ni kati ya website nzuri nilizowah kutembelea ubarikiwe sana kwa mafundisho mazuri na topic nzuri
Woow hongera sana Mjoli wa Bwana. Hakika kazi hii si bure..
binafsi inanikuna na kuvusha hatua na hatua.
Mtumishi kazi yako ni nzuri na nimefurahi sana.Mungu akubariki
Mungu akubariki sana servant of God, this is ol educational, inspirational and spritually fulfilling. asante sana kwa kazi hii.
Thank you my lil sister, karibu sana!
Utukufu kwa Mungu! Kazi nzuri sana, tunajifunza. Neema yake isikupungukie.
Dear Mate, ahimidiwe Mungu aliyekuwezesha kupata maono haya ya kuanzisha huduma hii , wengi watajifunza,wanajifunza, wamejifunza, pia unawafikia wengi kirahisi, Bwana awe nawe pia
Daniel Alex.
kweli kazi yako nzuri mtumishi,umeleta uamsho katika maisha yetu kwa habari ya kiroho,ndoa,familia na mengine mengi,MUNGU akubariki kwa utumishi huu mzuri!
i have been blessed with this blog, may the God’s blessings be upon you,
Amen,
Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri , am also a working mother of two, not born again but a believer
I recommend that this site be visited na watu wote wanaoishi duniani.UMEBARIKIWA
yaani sijui kwa nini sikuifahamu siku zote hizo. jamani tujuzane vitu vizuri kama hivi. Nabarikiwa sana ndugu, ubarikiwe na Mungu akupe ufahamu na mafunuo zaidi
yaani sijui kwa nini sikuifahamu siku zote hizo. jamani tujuzane vitu vizuri kama hivi. Nabarikiwa sana ndugu, ubarikiwe na Mungu akupe ufahamu na mafunuo zaidi, jamani daniel initiative hujaiweka hii kwenye links zako.
MTUMISHI WA BWANA NITAIWEKA TENA LEO
BARIKIWA ZAIDI NA ZAIDI KATIKA JINA LA YESU BWANA
You are a blessing to me my sister, I thank God for what you are doing in his kingdom, may my God almighty bless you.
Thanks anonymous
be blessed
Shalom,nimefurahi sana kuingia na kusoma yote yaliyomo kwenye blog hii,naweza kusema ni utukufu w aMungu muweza yote ndio unazidi kuonekana katika maisha yangu,maana ndani ya siku hizi mbili nakuwa napata blog nzuri zenye mafundisho mazuri ya Mungu,bwana akubariki na azidi kukutia moyo,mimi nimeokoka,na natamani kila cku nizidi kusimama imara katika imani yangu,tafadhali ningependa kama ningeweza kupata hata namba yako ya simu,ili uweze kuwa unanisaidia zaidi kukuwa katika imani yangu,nahitaji mtu wa kuwa nabadilishana nae mawazo juu ya utukufu wa Mungu,Bwana akubariki na uizid kuitenda kazi yake vizuri,nitwa Maria,nitafurahi sana kama utanijibu.Amen
Maria, i will email you..be blessed
kazi nzuri mtumishi songa mbele na Bwana aendelee kukupa neema na hekima za ki Mungu katika huduma hii, kazi njema!!!!!!
Asante sana Naomi, karibu
This is a Seed, hautaacha kuvuna unachopanda, fanya kazi yake aliyekutuma kwa moyo…
Ubarikiwe mpendwa kwazi yenye mvuto na kupendeza,tupo pamoja!.
Amen Rachel, asante na ubarikiwe pia
mbarkiwe sana, nimepata ushindi mpya. kazi yenu ni njema sana
mbarikiwe sana kwa kazi yenu nzuri wapendwa
Jamani hongera sana kwa kazi hii ya Mungu unayoifanya kwa kweli nimeipenda hii blog sana imenifunza meengi sana. Zidi kubarikiwa na kuinuliwa katika kuitekeleza kazi ya Bwana.
God Bless You.
Mimi ni mama Mchungaji napenda kutoa shukrani nyingi kwa jinsi mnavyoelimisha watu.
Amen, karibu sana na ubarikiwe
praise God,iwould like to be amember on your organization tell me what to do, mrs swai
Mungu awabariki sana, kazi mnayofanya ni kubwa sana.
Mungu akubariki dada kazi yako ni njema sana
hello maggie,im truly blessed by this website,and i would like to have a copy of the Prayer journal (in His presence),i live in Tanga,i dont know how i can access it..
bless u
Glory be to God, nitakutumia email
kwa kweli dada unanipa matumaini, umenisaidia kujua jinsi ya kusali, na maombi ya weekend hii yamenigusa sana. Be blessed
umebarikiwa
J.D.Moriah, ni katibu wa chama cha vijana kijulikanacho kama ELISHADAI MINISTRY ambacho bado ni kidogo kihuduma lakini tunatafuta rafiki katika KRISTO YESU ambawo kwa pamoja tuweze kuliviringisha gurudumu hili la machafuko kulisafisha kwa neno la Mungu wetu aliye mkuu.
asante saana ….
unatupatia vitu vizuri
naomba MUNGU akuongezee maarifa,amen
Asante mtumishi wa Mungu kwa vitu vizuri sana vya kutufanya wamama bora zaidi. Kwasababu nimeijua blog leo, Nina kazi kubwa ya kupitia article zooote, zoote zinaonekana kuwa na ujumbe. Ubarikiwe!
Karibu sana Ester, Mungu akuhudumie unapopitia article moja baada ya nyingine. Waeleze na rafiki zako kuhusu blog hii
Mungu awabariki sana vitu kama hivi tulizoea kuona kwa wenzetu lakini leo mmetukumbuka sisi wenzenu kwa kuanzisha blog yenu.
Nabarikiwa sana kila ninapopita hapa, Mungu azidi kukupa maarifa ili tuzidi kujifunza kuishi kama apendavyo…
Ubarikiwe sana!
Mungu akubariki sana kwa huduma njema
hello,this is a blessed ministry,may Almighty GOD bless You in any way.
dadangu naomba unitumie ratiba ya chakula na orodha ya manunuzi. nakupenda na mungu azidi kukutumia ili tupate kujua nini hasa malengo ya mungu kwetu na familia zetu.
Amen. Ukisearch hapo juu ratiba ya chakula na orodha ya manunuzi utavipata. Karibu
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu,WomanofChrist – Kazi nzuri unayofanya. Mungu azidi kukupa upako na hekima zaidi uli uzidi kulisha kondoo!
Olive.
May GOD bless you abundantly!
Mungu akubari muchungaji
M blessed with ur work!bless u sana
Ninakupongeza sana kwa juhudi
na maono lyako kwa kuanzia blog hi ya kuunganisha wamama ,wadada,wasichana nawabibi walio ndani ya Yesu mungu akuongoze na akupe mafunuo ili mwili wa Kristo ujengwe
niko pamoja nawe na ninakutakia ushindi katika damu ya Yesu . Naongea kama mtumishi wa Mungu kwamba Mungu atakufungulia mlango mkubwa ambao hukutegemea Kwa Jina la Yesu Kristo
Dear women of Christ,I thank God who has called u and who has entrusted u his ministry and who has called u.please can I get your contact.I have been blessed by your work.thank u in Advance.
Mungu akubariki sana kwa kaz yako nzur
Mtumishi wa Mungu, Ubarikiwe sana pamoja na kwamba sijapata majibu ya maombi yangu – naamini kabisa Mungu wangu hataniacha. Amina
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu mdogo wangu aliumwa sana mwaka jana nikakuletea maombi yangu kwako ukanielekeza jinsi ya kuomba. Namshukuru Mungu alipona na yupo mzima kabisa. Ubarikiwe sana
Mungu akubariki sana, kwa kazi nzuri unayoifanya. ubarikiwe, ningependa tubadirishane ujuzi kidogo, nitaarifu hapa tuktzemail@gmail.com
Nimekuja hapa kukushukuru na kukuombea mema. Nashukuru Mungu kwa kazi yako, na naomba akutangulie daima, na usichoke kutuelimisha. Nimefarijika na kuelimika vilivyo na blog yako ya “Unawezaje Kuwa na Mawazo Safi?” UBARIKIWE!
Shaloon MUNGU awabariki napenda kujiunga na maombi ya usiku namba ya ngu ni 0784461655
hii ni kati ya website nzuri nilizowah kutembelea ubarikiwe sana kwa mafundisho mazuri na topic nzuri
Woow hongera sana Mjoli wa Bwana. Hakika kazi hii si bure..
binafsi inanikuna na kuvusha hatua na hatua.
Hongera Sana Dada
Asante sana na karibu